Welcome

    HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI

    .

    Social Icons

Loading...

KAMA HUJAONA HII YA BIG KUTOANA JASHO NA NIVA HUKU KUPA AKISHUHUDIA... ACHIMENENGULE..



ACHIMENENGULE, Nimsemo uliozoeleka na kutambulika kupitia Bendi ya muziki wa dansi Tanzania ijulikanayo kama Tanzania one theatre au TOT. Ambao katika vibao vyao kulikuwa na kibwagizo kinachoitwa achimenengule kilichoanzishwa na Marehemu Banza Stone Mwana masanja.
Lakini jina hili limekuja kivingine, ACHIMENENGULE ni Filamu mpya Itakayouwa mitaani hivi karibuni kuptia kampuni ya SPLASH ambayo ni kambpuni pacha ya STEPS ENTERTAINMENT.
Filamu hii itawakutanisha wakali kama Zuberi Mohamed (NIVA)Idrisa Makupa ( KUPA)Luvole Matuvolwa (BIG), Hans wa Leo, ambaye ni msanii wa Bongo Flava na wengine wengi.
filamu hii itakuwa mtaani hivi karibu so usikose kupata nakalayako.

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SOKASPORT
Back To Top