Welcome

    HABARI ZA MICHEZO NA BURUDANI

    .

    Social Icons

Loading...

VICTOR VALDES KUUZWA KWA UTOVU WA NIDHAMU... SOMA HAPA...

Meneja wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal ametangaza uamuzi wake wa kumuuza mlinda mlango Victor Valdes huku sababu ya msingi ikiwa ni utovu wa nidhamu.
Hatua hiyo inakuja baada ya mlinda mlango huyo kukataa kucheza kwenye kikosi cha pili ndani ya Manchester United.
Van Gaal amesema mlinda mlango huyo wa zamani wa klabu ya Barcelona ambae alimwaga wino mwezi wa kwanza atakutana utakuwa ni mwisho wake kuitumikia klabu hiyo baada ya kushindwa kufuata filosofia za meneja huyo
“kama hutaki kufuata sheria na misingi basi njia ni moja tu nayo ni kuondoka” alisema Van Gaal wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari ambapo alifunguka juu ya usajili na safari yao ya Marekani mwanzoni mwa msimu

BOFYA HAPA KWA KUJIUNGA NASI MOJA KWA MOJA NA LIKE PAGE YETU

HII NI MO DESIGN

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SOKASPORT
Back To Top